Katika miaka ya hivi karibuni, matukio ya hali ya hewa kali, kama vile mawimbi ya joto, ukame na mafuriko, yametokea katika sehemu nyingi za dunia. Shirika la hali ya hewa duniani WMO limetangaza...
Japan itaanza kutoa maji yaliyotiwa mionzi kutoka kwa kinu cha nyuklia cha Fukushima kwenye Bahari ya Pasifiki siku ya Alhamisi, licha ya upinzani kutoka kwa majirani zake. Mwaka 2011,...
Uasi wa hivi majuzi wa Kundi la mamluki la Wagner nchini Urusi ulihitimishwa ghafla katika muda usiozidi siku mbili. Kupitia uingiliaji kati wa Rais wa Belarus Aleksandr Lukashenko, ...
Wiki hii, Lai Ching-te, mgombea mkuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (DPP) kwa uchaguzi wa mitaa wa 2024 wa eneo la Taiwan la China, alikuwa na "visimamo" katika ...
Ikiwa ni nusu ya mwaka wa 2023, uchumi wa China, nchi ya pili kwa ukubwa duniani na injini ya ukuaji wa kimataifa, umevutia watu wengi ...
Tangu kutangazwa kwa mpango wa Japan wa kutiririsha maji yaliyochafuliwa na nyuklia katika bahari ya 2021, bila kuzingatia upinzani kutoka kwa pande tofauti, Japan imesisitiza ...
Kwa miili yao ya mviringo na nyuso zenye laini, panda wakubwa wamevutia watu si tu nchini Uchina bali pia kwingineko. Nani anaweza kupinga mchanganyiko wa uzuri ...