AfghanistanMiaka 7 iliyopita
#Afghanistan: Mlipuaji wa kujitoa muhanga aua angalau 27 katika msikiti wa Shia huko Kabul
Mlipuaji wa kujitoa mhanga amewauwa watu wasiopungua 27 na kujeruhi makumi Jumatatu katika mlipuko uliotokea kwenye msikiti wa Washia uliojaa watu katika mji mkuu wa Afghanistan Kabul, ...